
Kijana Ndayishimiye Lucien muigizaji wa filamu nchini Burundi toka mwaka 2013 ila kwa sasa yupo nchini South Africa, alianza filamu mwaka 2013 pia alikuwa na ndoto ya kuja kuwa Director mkubwa na alianza katika Company ya TAMBWE THE GREAT FILMS hadi alipo badili nchi nakufika Malawi na ndipo akaanzisha tena Group mpya nakuonesha uwezo wake wakuigiza hadi wakatokea kufanya Movie iitwayo VILLAGE CONFLICT ambayo amecheza kama Principal Actor
Alipo ulizwa na Indundi.com nini malengo yake alijibu kwa kusema:
“Mimi nina ndoto kubwa sana yakuweza kuitambulisha nchi yangu nakuifikisha mbali hadi waigizaji wa nje ya nchi wajuwe kuwa sisi warundi tunaweza kuigiza, ila kwasasa nataka kurudi nyumbani ili kuja kufanya kitu nilicho jifunza na pia naamini kitaleta mabadiliko makubwa sana.
Neno moja kwa kijana huyu kuonesha nguvu yakupambania nchi yake kupitia Filamu.
-
Remaking our first cat scratching post
- Bayley Robertson
-
703 Views • 5 months ago
-
Xiaomi Mi 11 vs OnePlus 8 Pro – SPEED TEST!
- Chenai Simon
-
329 Views • 5 months ago
-
- David Parker
-
128 Views • 5 months ago
-
Return to the Sinnoh region in Pokémon Brilliant Diamond ...
- Harry Olson
-
105 Views • 5 months ago
-
What will SpaceX do when they get to Mars?
- David Parker
-
409 Views • 5 months ago
-
This Laptop has NO Laptop Inside – What??
- Chenai Simon
-
97 Views • 5 months ago
-
Ultimate Wild Animals Collection
- Harry Olson
-
185 Views • 5 months ago
-
Testing the Curiosity Rover on Earth
- Bayley Robertson
-
200 Views • 5 months ago
-
- Chenai Simon
-
298 Views • 5 months ago
-
FLYING Leaf Blower RC airplane Mk2
- David Parker
-
75 Views • 5 months ago