
Muigizaji wa filamu nchini Burundi Sururu Jaffari maarufu kama Burundiano baada yakuwa kimya kwa mda mrefu akiendelea kutengeneza Filamu ambayo ameitengeneza nchini Tanzania pia na Burundi na ameweza kushirikisha wasanii tofauti ikiwa kama JACKLINE WOLPER, HEMED SULEIMAN pia upande wa Burundi NANCY AMIE FIDEL na NZEYIMANA NASOR Maarufu kama LOLILO na filamu iyo ikapewa jina BURUNDIAN IN DAR.
Baada ya apo Indundi iliweza kumsogelea nakumuuliza nini anacho kipanga ao nini anaongea na mashabiki wake kutoka na ujio wa filamu iyo? Burundiano amesema:
“Kubwa zaidi nawapenda saana Mashabiki wangu. Pia Wasichoki kunisapoti kwa kazi nazozifanya maana siwezi kuwa BURUNDIANO BILA wao nawategemee mambo makubwa kutoka kwangu”.
Alimalizia Burundiano
Kwa upande mwengine anaonekana mwenye ndoto kubwa nayakuweza kuinuwa na kupeperusha bendera ya Burundi kimataifa kupitia Filamu.
-
Remaking our first cat scratching post
- Bayley Robertson
-
703 Views • 5 months ago
-
Xiaomi Mi 11 vs OnePlus 8 Pro – SPEED TEST!
- Chenai Simon
-
329 Views • 5 months ago
-
- David Parker
-
128 Views • 5 months ago
-
Return to the Sinnoh region in Pokémon Brilliant Diamond ...
- Harry Olson
-
105 Views • 5 months ago
-
What will SpaceX do when they get to Mars?
- David Parker
-
409 Views • 5 months ago
-
This Laptop has NO Laptop Inside – What??
- Chenai Simon
-
97 Views • 5 months ago
-
Ultimate Wild Animals Collection
- Harry Olson
-
185 Views • 5 months ago
-
Testing the Curiosity Rover on Earth
- Bayley Robertson
-
200 Views • 5 months ago
-
- Chenai Simon
-
298 Views • 5 months ago
-
FLYING Leaf Blower RC airplane Mk2
- David Parker
-
75 Views • 5 months ago